-
Kuandaa na kutathmini Sera za Idadi ya Watu na
Uchumi
-
Kutoa miongozo ya usimamizi wa uchumi
-
Kubuni na kufanya utafiti katika nyanja
mbalimbali za maendeleo ya Uchumi
-
Kutengeneza na kutekeleza mipango ya maendeleo
-
Kuratibu mipango ya maendeleo na kutoa miongozo
ya bajeti kwa ajili ya matumizi ya rasilimali za Taifa
-
Kuratibu utekelezaji wa sera ya Taifa ya Idadi
ya Watu
-
Kuratibu uendeshaji wa mtandao-kompyuta wa
Taifa
-
Kuhakikisha maendeleo ya nguvu kazi
-
Kutoa miongozo kuhusu mapatano ya kibiashara ya
Sekta za Nchi za Nje na Mipango ya Misaada.
-
Kusimamia Baraza la Taifa la Uongezaji Tija
-
Kutoa miongozo kuhusu ubinafsishaji
-
Kuweka utaratibu wa kusimamia na kutathmini
makampuni yaliyobinafsishwa
-
Kukusanya, kuandaa, kutunza, na kusambaza
takwimu
-
Kuwasiliana na Mashirika ya Kimataifa na
kuratibu shughuli za mashirika hayo nchini. ( Mashirika hayo ni Banki ya dunia,
Shirika na Maendeleo la Umoja wa Mataifa, RDA, RCDC, MIGA, UCSID)
-
Kuandaa na kupanga mikakati ya uwekezaji katika
Taasisi za umma
-
Kueleza kwa ufasaha sera na mikakati ya Maendeleo ya Sekta
mbalimbali nchini