Tume ya Utumishi
Serikalini
Utawala na usimamizi wa utumishi serikalini (ajira,
vyeo, nishamu nk.)
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Tume ya Utumishi Serikalini
Simu: (+255 22) 2120901, 2120909, 2126811–4
Sekretariat ya Maadili ya Uongozi
Kusimamia viongozi wa umma, matumizi
mabaya ya madaraka, uwajibikaji,na uwazi; utafiti na takwimu; elimu na uenezi.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Sekretariat ya Maadili ya Uongozi
Simu:(+ 255 22) 2114715, 2111810/11
Tume ya Uchunguzi wa
Tabia za Viongozi
Kusimamia uchunguzi juu ya tabia za viongozi;
utafiti na uenezi
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Tume ya Uchunguzi wa Tabia
za Viongozi
Simu + 255 22 2113690; 2110607/141
Taasisi ya Kuzuia Rushwa
Kuzuia rushwa na utekelezaji wa mapendekezo ya
Tume ya Kudumu ya Tabia za Viongozi kuhusu rushwa
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:
Mkurugenzi Mkuu,
S.L.P 4865,
Dar es Salaam.
Simu:(+255 22) 2150047, 2150043 na 2150046 |