



































|
. |
|
Hotuba
ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa
Frederick Tluway Sumaye, Mbunge, kuhusu
Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali, 2002/2003 na
Makadirio ya Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya
Bunge, 2002/2003 |
|
Dira |
Jukumu |
|
Dira ya
Ofisi ya Waziri Mkuu ni kuwa mfano katika utendaji bora,
kutimiza wajibu wake upatanishi baina ya wizara za serikali na
pia kuwa maendeleo ya demokrasia serikali, kuonyesha kutokuwa
na upendeleo na kuvipatanisha vyama vua siasa. |
Jukumu la
Ofisi ya Waziri Mkuu ni kuhakikisha, kusimamia na kuangalia
utekelezaji wa maamuzi ya serikali. |
|
Kazi za Ofisi
ya Waziri Mkuu |
-
Kuratibu,
kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa shughuli za wizara zote. Kiongozi wa
shughuli za Serikali Bungeni, Kiungo kati ya vyama vya siasa na Serikali,
Sikukuu na Sherehe za Kitaifa, Sera ya Habari.
-
Kusimamia
vyombo vya habari (magazeti,redio na vituo vya televisheni)
-
Kujiandaa
dhidi ya maafa na kusimamia utoaji wa misaada wakati wa maafa
-
Uhamishaji na Maendeleo ya Makao Makuu Dodoma, Kusaidia na kutekeleza mpango
wa maendeleo ya mji wa dodoma kama makao makuu ya
serikali ya Tanzania, Kuratibu na kusimamia mradi wa kuhamia Dodoma.
|
|
Mashirika na Taasisi |
-
Bunge:
www.bungetz.org
-
Msajili wa vyama vya Siasa
-
Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC)
-
Mamlaka ya Kuendeleza Makao Makuu
Dodoma (CDA)
-
Redio
Tanzania Dar es Salaam (RTD)
-
Televisheni ya Taifa (TVT)
-
Chuo cha Uandishi wa Habari (TSJ)
|
|
 |