|
Dira |
Jukumu |
|
Kutoa
huduma za afya zenye ubora wa kiwango cha juu na kwa kila
mwananchi, kuwa na mpango endelevu wa afya wa Taifa wenye
kutoa huduma bora ndiyo dira ya wizara hii
|
Jukumu la wizara ya afya ni kuhakikisha kuwa wafanyakazi wote
na watoa huduma wanatoa huduma ya afya kwa madhumuni ya kuwa
na afya bora kwa jamii |
|
Kazi za Wizara
Ya Afya |
-
Kuandaa sera ya Afya
-
Kutoa huduma zifiatazo;
-
Huduma za hospitali
-
Huduma za Kinga
-
Muduma za kusimamia
madawa
-
Kusimamia Ubora wa
madawa na vyakula
-
Huduma ya Uzazi wa
Mpango
-
Kutoa huduma za baraza
la kisayansi
-
Kuinua matumizi ya
madawa ya asili
-
Kukagua huduma za afya
-
Kushiriki katika
Mashirika ya Kimataifa ya afya ya Utabibu
-
Kuendeleza nguvukazi
chini ya Wizara hii
-
Kusimamia Idara,
Mashirika ya Umma na Miradi iliyo chini ya Wizara
-
Kusimamia Mawakala wa
Serikali walio chini ya Wizara hii
|
|
Mawakala/Taasisi |
-
Maabara ya
Kemia ya Serikali
-
Taasisi ya
Chakula la Madawa
-
Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili
-
Shirika la
Taifa la Madawa
-
Taasisi ya
Mifupa ya Muhimbili
-
Kituo cha
Saratani cha Ocean Road
-
Kituo cha
Chakula na Lishe
-
Kituo cha Taifa
cha Utafiti wa Madawa
-
Hospitali ya
Rufaa ya Mbeya
|
|
Vyombo vya
kisheria |
-
Msajili wa Hospitali
Binafsi
-
Tume ya Udhibiti wa
Vyakula
-
Baraza la Waganga wa
Macho Tanzania
-
Baraza la Madaktari wa
Tanganyika
-
Bodi ya Madawa
-
Baraza la Wauguzi na
Wakunga
-
Bodi ya Maabara Binafsi
za Afya
-
Baraza la Maabara za
Teknolojia ya Afya
-
Mkemia Mkuu wa Serikali
|