|
Kuwa
msimamizi na mratibu mkuu wa sekta ya ujenzi yenye ufanisi na
uendelevu unaotarajiwa katika kukidhi mahitaji ya ujenzi,
ukarabati na matengenezo ya barabara, madaraja na majengo na
hivyo kuiwezesha sekta hii ya ujenzi kushiriki kikamilifu
katika maendeleo ya uchumi hapa nchini
|
Kuandaa
na kusimamia utekelezaji wa sera ya maendeleo ya hapa nchini
|