.

Dira Jukumu

Lengo la Wizara hii ni kukuza biashara, na  ushidani, kuhakikisha kuwa chakula cha kutosha kinapatikana, kuinua hali ya maisha vijijini, kuongoza ajira vijijini na kuwa msingi imara wa maendeleo ya kiuchumi na kuungana na sekta nyingine, kutumia mali asili katika njia endelevu.

Kuandaa sera nzuri, kuandaa kanuni na mifumo bora na kuwasidia huduma za kutoa ushauri kwa wakulima na sekta binafsi kuhusu maendeleo endelevu na kupunguza umasikini

Kazi za Wizara ya kilimo na Chakula

  • Kusimamia Sera za Maendeleo ya Kilimo na Utekelezaji wake

  • Mipango ya Kilimo na Matumizi ya Ardhi, Utafiti na Ushauri kwa Wakulima, Ujenzi wa zana za kutunzia chakula, Sera ya Chakula na Umwagiliaji

  • Kuwapatia mafunzo zaidi wafanyakazi wa Wizara

Taasisi na Mashirika

Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATIs): KATC (Chuo cha Mafunzo ya Kilimo cha Kilimanjaro, Chuo cha Mafunzo ya Kilimo cha Mlingo)

Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITIs) LITI Mpwapwa

Taasisi : Shirika la Mbegu Tanzania (TOSCA)

Kanda ya Ziwa

  • Chuo Cha Utafiti wa Kilimo Cha Ukiriguru
    S.L.P. 1433,  Mwanza
    Chuo hiki kinafanya Utafiti wa zao la Pamba
    Simu: 255 28 2550215
    Fax:   255 28 2550214
    E-mail Ukiriguru@africaonline.co.tz

Nyanda za Juu Kusini

  • Chuo cha Utafiti wa Kilimo cha Uyole
    S.L.P. 400, Mbeya
    Chuo hiki kinafanya utafiti wa zao la chai
    Simu: 255 25 2510062
    Fax:   255 25 2510065
    E-mail Uyole@ud.co.tz

Kanda ya Kaskazini

  • Chuo cha Utafiti wa Kilimo cha Selian
    S.L.P. 6024, Arusha
    Chuo hiki kinafanya utafiti wa mazao shayiri na chakula, na matunda
    Simu:    255 27 23883
    Fax:      255 27 23971/2548557
    E-mail:  Sar@yako.habari.co.tz

Kanda ya Kusini

  • Chuo cha Utafiti wa Kilimo cha Naliendele
    S.L.P. 509, Mtwara
    Chuo hiki kinafanya utafiti wa zao la korosho, chakula na mazao ya mafuta
    Simu: 255 23 2333836
    Fax:   255 27 2333141
    E-mail : NARI@raha.com

Kanda ya Kati

  • Chuo cha Mafunzo ya Utafiti wa Mazao ya Mifugo cha Mpwapwa
    S.L.P. 202, Mpwapwa
    Kinafanya Utafiti juu ya Mifugo
    Simu:  255 22 2865312
    Fax:    255 22 2865312
    E-mail  mpwapwa-PAG@maf.org   au  orc/o drd@ud.co.tz

Kanda ya Mashariki

  • Chuo cha Mafunzo ya Utafiti wa Kilimo cha Ilonga
    S.L.P. ????  Ilonga, Kilosa Morogoro
    Chuo hiki kinafanya utafiti juu ya zao la mpunga
    Simu: 255 23 2623201
    Fax:   255 23 2623284
    E-mail ilong@africaonline.co.tz  au fnyaka@hotmail.com

Kanda ndogo ya Mashariki

  • Chuo cha Mafunzo ya Utafiti wa Kilimo cha Mlinga
    S.L.P  5088  Tanga
    Chuo hiki kinafanya utafiti juu ya ardhi, udongo na maji
    Simu:     255 27 2647547/ 2647680
    Fax: c/o 255 27 264577
    E-mail:mlingano@twiga.com

Kanda ya Magharibi