Kuwa
msimamizi wa maendeleo ya sekta za maji na mifugo ili kukidhi
mahitaji ya watanzania wanaoishi mijini na vijijini.
Kuendeleza sekta za maji na mifugo kwa ushirikiano na
washikadau wote
Kazi za
Wizara
Kuratibu utekelezaji wa
sera ya maendeleo ya maji na taasisi za huduma mbalimbali za maji na majitaka
hapa nchini, upatikanaji wa maji mijini na vijijini.
Kuratibu utekelezaji wa
sera za maendeleo ya mifugo hapa nchini