.

Hotuba za Waziri na Taarifa mbalimbali

Dira Jukumu

Kuhakikisha hali ya usalama na utulivu kwa jamii

Kusimamia utekelezaji wa sheria  na taratibu za nchini

Kazi za Wizara  

  • Kulinda usalama wa raia na mali zao

  • Kulinda na kuhifadhi wafungwa na watumiwa wa makoda mbalimbali walio chini ya ulinzi wa magereza

  • Kudhibiti matembezi ya raia na wageni ndani na nje ya Tanzania, ikiwa  ni pamoja na kutoa Uraia kwa wasio kuwa raia

  • Kuandaa na kusimamia utekelezaji wa huduma za uokoaji

  • Kutoa misaada ya dharura na hifadhi kwa wakimbizi kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi

  • Kuratibu vita dhidi ya madawa ya kulevya.

Mawakala/Taasisi