|
Msaidizi
katika shughuli za kuzalisha, kununua, kusafirisha na kutumia
madini katika njia ambazo zitalinda usafi wa mazingira |
Sekta ya Nishati: kusaidia jitihada
za Taifa za kuwa na chanzo cha nishati kinachoaminika,
kusafirisha, kusambaza na kutimia katika njia ambazo
hazitaharibu mazingira
Sekta ya madini: Kutilia mkazo
ushiriki wa sekta binafsi katika utafutaji na uchimbaji wa
madini kwa madhumuni ya kuleta maendeleo ya kiuchumi na
kijamii. |
-
Sera ya
maendeleo ya nishati na miradi, petroli, sera ya umeme, miradi ya umeme mijini
na vijijini, sera ya madini na maendeleo yake, migodi, utafiti wa kijiolojia
na kijiografia, sekta ya mafunzo
-
Kutoa
mafunzo kwa wafanyakazi wa Wizara
-
Idara,
Mashirika ya Umma na Miradi chini ya Wizara
-
Mawakala wa
Serikali chini ya Wizara hii.
|