.

Dira Jukumu

Ni kuwa mkuzaji mzuri wa Uchumi wa Tanzania na maslahi mengine nje ya nchi.

Kuongoza masuala ya kidiplomasia ambayo yataleta shughuli za kiuchumi na kusaidia kuharakisha mabadiliko na maendeleo nchini Tanzania

Kazi za Wizara

·        Kusimamia sera ya mambo ya nchi za nje, Mabalozi wa Tanzania nchi za nje, Masuala ya Jumuiya ya Madola, Mikataba ya Kimataifa, Maagano na Makubaliano, Shughuli za Umoja wa Nchi za Kiafrika,  marupurupu na kinga ya kidiplomasia, protokali na hati za utambulisho, huduma za ofisi ndogo za kibalozi, ushirikiano wa kimataifa na baina ya mataifa ya eneo moja, Tume za Pamoja,  upelelezi wa nafasi za kiuchumi nchi za nje. 

·        Kuendeleza Wafanyakazi chini ya Wizara hii

·        Idara, Mashirika ya Umma na Miradi chini ya Wizara

Mawakala wa serikali chini ya Wizara

Taasisi na Mashirika

Chuo cha Diplomasia

Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Cha Arusha (AICC)

Ofisi za Kibalozi na Misheni Nchi za Nje

Ofisi ya Kibalozi nchi za Nje

Ofisi za Balozi Ndogo za Tanzania Nje ya Nchi

 

Ofisi za Kibalozi nchini Tanzania

Ofisi za Kibalozi na Balozi Ndogo Nchini Tanzania.

Mashirika ya Kimataifa