


































|
. |
|
Hotuba
ya Bajeti Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu |
|
Dira |
Jukumu |
|
Dira ya
Wizara hii ni kuwa na jamii ya wasomi ambayo inaweza kuhimili
maendeleo ya kisayansi na teknolojia kitaifa na kimataifa
|
Kuandaa
na kutafsiri sera za serikali juu ya maendeleo na ukuzaji wa
sayansi na teknolojia na kuhusu utaoaji wa mafunzo za kiufundi,
ufundi stadi na elimu ya juu.
|
|
Kazi za Wizara |
-
Kusimamia sera na
mipango ya sayansi na teknolojia, utafutaji na matumizi ya teknolojia,
kuendeleza utaalam wa hapa nchini katika sayansi na teknolojia, kutoa taarifa za
kitafiti kuhusiana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, elimu ya juu, sera ya
vyuo vikuu. Taasisi za teknolojia na vyuo vya ufundi.
-
Mashirika ya kimataifa
k.m. UNESCO
-
Kuendeleza nguvu kazi
chini ya Wizara
-
Kusimamia shughuli za
idara kuu , mashirika ya umma na miradi iliyo chini ya Wizara.
|
|
Mawakala/Taasisi |
|
www.nactetz.org |
|
 |