|
Kuongeza
ufanisi katika utoaji wa haki na huduma za kisheria na
kupeleka huduma hizo kwa wananchi walio wengi na hivyo
kuimarisha amani na utulivu
|
Kuwa
msimamizi na mratibu mkuu wa haki na sheria kwa kuongoza
mashtaka ya kesi za jinai na madai mahakamani, kuandaa miswada
ya sheria, usajili wa vizazi na vifo, ndoa na talaka na utoaji
wa ushauri wa kisheria kwa serikali na taasisi zake
|