Kuwa na vyama vya Ushirika vinavyojitegemea na masoko yenye lengo la kuinua hali ya maisha ya wananchi wenye kipato cha chini
Kuboresha huduma za vyama vya Ushirika na Sekta ya Masoko.
Kazi za Wizara
Kusaidia kuaanda sera za Ushirika na Masoko na kusimamia utekelezaji wake
Kuanzisha vyama vya Msingi na vyama vya Ushirika
Kuanzisha Vyama vya Kuweka na Kukopa
Kufanya utafiti juu ya biashara na masoko
Kuhakikisha Wizara inakuwa na wafanyakazi wenye ujuzi wa kazi zao kwa kuwapa mafunzo
Kusimamia miradi iliyo chini ya Wizara hii.
Taasisi na Mashirika
Chuo Cha Ushirika
Cooperative Audit and Supervision Corporation (COASCO)