|
Mwelekeo wa
Wizara hii ni kuwa na jamii yenye mtazamo wa kijinsia ambayo
itakuwa na uwezo wakutambua matatizo na uwezekano wa kuinua
ubora wa maisha kijamii na kiuchumi. |
Jukumu la
Wizara hii ni kusaidia uundaji, utekelezaji, na kusimamia sera
zinazolenga jinsia katika jamii, kutengeneza mazingira
yatakayoweza kujenga uwezo wa wanawake na wanaume kushiriki
kikamilifu katika shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi. |