MAENDELEO YA UCHUMI JUMLA | UENDELEZAJI WA SEKTA BINAFSI | SUALA MAALUMU KATIKA MAENDELEO |
MAENDELEO KATIKA SEKTA MBALIMBALI

KIREFU/TAFSIRI YA MANENO YALIYOANDIKWA KWA UFUPI

 

ACB

Akiba Commercial Bank (Benki ya Biashara Akiba)

 

AFGEM

 

African Gemstone (Kampuni ya Uchimbaji wa Vito)

 

AGOA

 

African Growth and Opportunity Act (Mpango wa Marekani wa Kusaida Maendeleo ya Afrika)

 

ARI

 

Acute Respiratory Infections (Magonjwa ya Koo)

 

ATA

 

Africa Travel Association (Chama cha Wenye kutoa Huduma za Safari Afrika)

ATM

Automatic Teller Machine (Mashine ya kujihudumia katika benki)

 

ATCL

 

Air Tanzania Corporation Limited (Shirika la Ndege Tanzania)

 

c.i.f.

 

cost insurance and freight (thamani ya bidhaa ikijumuisha gharama za usafiri na bima)

 

DAWASA

 

Dar es Salaam Water and Sewarage Authority (Mamlaka ya Maji safi na Majitaka Dar es Salaam)

 

DRC

 

Democratic Republic of Congo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo)

 

EAC

 

East African Community (Jumuiya ya Afrika Mashariki)

 

EBA

 

Everything But Arms (Kila Kitu Isipokuwa Silaha)

 

EPZ

 

Export Processing Zone (Eneo la Usindikaji wa Bidhaa za Kuuza Nje)

 

ESDP

 

Education Sector Development Programme (Mpango wa Maendeleo ya Sekta ya Elimu).

 

EU

 

European Union (Jumuiya ya Nchi za Ulaya)

 

EWURA

 

Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Maji na Nishati)

 

f.o.b.

 

free on board (Thamani ya Bidhaa bila Kujumuisha Gharama za Usafiri na Bima)

 

FAO

 

Food and Agriculture Organization (Shirika la Kilimo na Chakula)

 

FDI

 

Foreign Direct Investment (Uwekezaji Mitaji ya Moja kwa Moja)

 

GPS

 

Global Positioning System (Mfumo wa Upimaji Katika Dunia)

 

Gwh

 

Gigawatt hour (Kipimo cha Uzalishaji Umeme kwa saa)

 

HANDICO

 

Tanzania Handcraft Marketing Company Limited (Kampuni ya Uuzaji wa Bidhaa Zinazotengenezwa kwa Mikono Tanzania)

 

HASHI

 

Hifadhi Ardhi Shinyanga

 

HBS

 

Household Budget Survey (Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya)

 

HIPC

 

Highly Indebted Poor Countries (Nchi Maskini Zenye Madeni Makubwa)

 

IFEM

 

Inter-bank Foreign Exchange Market (Soko la Fedha za Kigeni baina ya Benki)

ILFS

Integrated Labour Force Survey (Utafiti wa nguvukazi)

 

IMF

 

International Monetary Fund (Shirika la Fedha la Kimataifa)

 

KIUTA

 

Kiwanda cha Uchapishaji cha Taifa

 

MEM

 

Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi

 

MOI

 

Muhimbili Orthopeadic Institute (Taasisi ya Mifupa Muhimbili)

 

MTEF

 

Medium Term Expenditure Framework (Mfumo wa Matumizi wa Muda wa Kati)

 

MW

 

Megawatt (Kipimo cha Uzalishaji Umeme)

 

NAEP II

 

National Agricultural Extension Programme (Programu ya Kuimarisha Huduma za Ugani Awamu ya Pili)

 

NEMC

 

National Environment Management Council (Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira

 

NEDCO

 

National Engineering and Design Company (Kampuni ya Uhandisi na Ubunifu

Tanzania)

 

NEPAD

 

New Partnership for Africa’s Development (Mpango Mpya wa Ushirikiano wa Kusukuma Maendeleo ya Nchi za Afrika)

 

NGO

 

Non Governmental Organization (Shirika Lisilo la Kiserikali)

 

NMB

 

National Micro finance Bank (Benki ya Taifa ya Kutoa Mikopo Midogo Midogo).

 

NSC

 

National Steel Company (Kampuni ya chuma ya Taifa)

 

NSSF

 

National Social Security Fund (Mfuko wa Taifa wa  Hifadhi ya Jamii)

 

NTC

 

National Transport Corporation (Shirika la Usafirishaji la Taifa)

 

PER

 

Public Expenditure Review (Pitio la Matumizi ya Umma)

 

PHC

 

Primary Health Care (Matunzo ya Afya ya Awali)

 

PPF

 

Parastatal Pension Fund (Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma)

 

PRSP

 

Poverty Reduction Strategy Paper (Mkakati wa Kupunguza Umaskini)

 

RAHCO

 

Railway Holding Company (Kampuni ya Kumiliki Reli)

 

RETOSA

 

Regional Tourism Organization for Southern Africa Countries (Shirika la Utalii la Nchi za Kusini mwa Afrika)

 

RISDP

 

Regional Indicative Strategies Development Plan (Mkakati wa Mpango wa Maendeleo)

 

SAA

 

South African Airways (Shirika la Ndege la Afrika Kusini)

 

SADC

 

Southern Africa Development Community (Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika)

 

SME

 

Small and Middle Enterprises (Viwanda/Vidogo Vidogo na vya Kati)

 

SINOTASHIP

 

Sino – Tanzania Shipping Company (Kampuni ya Meli ya China na Tanzania)

 

SUMATRA

 

Surface and Marine Transport Regulatory Authority (Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Ardhini na Majini)

 

TABOA

 

Tanzania Bus Owners Association (Chama cha Wanaomiliki Mabasi Tanzania)

 

TANESCO

 

Tanzania Electric Supply Company (Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania)

 

TAS

 

Tanzania Assitance Strategy (Mkakati wa Ushirikiano na Wafadhili)

 

TAZARA

 

Tanzania Zambia Railway Authority (Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia)

 

TCAA

 

Tanzania Civil Aviation Authority (Wakala wa Mamlaka ya Usimamizi wa usalama wa Usafiri wa Anga)

TCDC

 

Technical Cooperation among Developing Countries (Ushirikiano wa Kiufundi Baina ya  Nchi Zinazoendelea)

 

TCFB

 

Tanzania Central Freight Bureau (Shirika la Kudhibiti Shehena Tanzania)

 

TCRA

 

Tanzania Communication Regulatory Authority (Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma ya Mawasiliano)

 

TDFL

 

Tanzania Development Finance Limited (Taasisi ya Fedha kwa ajili ya Maendeleo Tanzania)

 

THA

 

Tanzania Harbours Authority (Mamlaka ya Bandari Tanzania)

 

TIC

 

Tanzania Investment Centre (Kituo cha Uwekezaji Tanzania)

 

TISCO

 

Tanzania Industrial and Scientific Consulting Organization (Shirika la Ushauri wa Kisayansi na Viwanda Tanzania)

 

TNBC

 

Tanzania National Business Council (Baraza la Taifa la Mashauriano baina ya Serikali na Sekta binafsi

 

TPB

 

Tanzania Postal Bank (Benki ya Posta Tanzania)

 

TPC

 

Tanzania Post Corporation (Shirika la Posta Tanzania)

 

TPDC

 

Tanzania Petroleum Development Corporation (Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania)

 

TPH

 

Tanzania Publishing House (Kampuni ya Uchapaji Tanzania)

 

TRA

 

Tanzania Revenue Authority (Mamlaka ya Mapato Tanzania)

 

TRC

 

Tanzania Railway Corporation (Shirika la Reli Tanzania)

 

TTCL

 

Tanzania Telecommunication Company Limited (Kampuni ya Simu Tanzania)

 

TAZARA

 

 

Tanzania Zambia Railway Authority (Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia)

 

UAE

 

United Arab Emirate (Umoja wa Nchi za Kiarabu)

 

UDA

 

Usafiri Dar es Salaam

 

UKIMWI

 

Ukosefu wa Kinga Mwilini

 

UNDP

 

United Nations Development Programme (Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa)

 

UNEP

 

United Nations Environment Programme (Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira)

 

UNFPA

 

United Nation Fund for Population Activities (Mfuko wa Umoja wa Maifa linaloshughulikia Idadi ya Watu)

 

VAT

 

Value Added Tax (Kodi ya Ongezeko la Thamani)

 

VETA

 

Vocational Education and Training Authority (Mamlaka ya Elimu ya Ufundi na Mafunzo)

 

VVU

 

Virusi vya Ukimwi

 

WADU

 

Weka Akiba Daima Upatavyo

 

WFP

 

World Food Programme (Mpango wa Chakula Duniani)

 

WHO

 

World Health Organization (Shirika la Afya Duniani)

 

WTO

 

World Trade Organization (Shirika la Kimataifa la Biashara)

 

WUMT

 

Western Union Money Transfer (Shirika la Kusafirisha Fedha Kimataifa)

MATUKIO MUHIMU YA KIUCHUMI MWAKA 2002

Tarehe

Mwezi

Matukio

 

Februari

Sheria ya mikopo midogo midogo yapitishwa Bungeni 

 

19

Februari

Benki Kuu yatoa noti mpya.

 

3

Machi

Benki kuu yachukua uamuzi wa kuiendesha benki ya Delphis baada ya benki hiyo kuzorota katika utendaji.

 

20

Machi

Vita ya Iraq na Marekani yaanza. Vita hii imeathiri sekta za utalii na usafirishaji duniani.

 

24

Aprili

Rais Benjamin William Mkapa afungua mdahalo wa Changamoto ya maendeleo nchini katika Hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam.

 

12

Juni

Siku ya Bajeti kwa nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki.

 

25-26

Agosti

Mkutano wa Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wafanyika Dar es Salaam

27

Agosti

 

Serikali yazindua rasmi Sera ya Taifa ya Biashara na Sera ya Kuendeleza Biashara Ndogo na za Kati.

8

Oktoba

 

Tanzania na Malawi zatiliana saini mkataba wa kuendeleza kivuko kitakachounganisha bandari za Mbamba Bay, Mtwara na Nkatha Bay, Malawi.

15

Oktoba

 

Wiki ya Umaskini na uzinduzi wa mapitio ya mkakati wa kupunguza umasikini yaanza.

 

25

Oktoba

Siku ya Taifa ya Ubinafsishaji yaadhimishwa kwa maonyesho yaliyofanyika katika Hotel ya Royal Palm, Dar es Salaam.

29

Oktoba

 

Mkutano  wa ushirikiano mpya wa kuleta maendeleo Afrika wafanyika Nairobi, Kenya.

 

14

Novemba

 

Muswada wa kubinafsisha NMB wapitishwa na Bunge.

29

Novemba

 

Nchi tatu zinazounda Jumuiya ya Afrika ya Mashariki za Tanzania, Kenya na Uganda zakutana mjini Arusha kupitia rasimu ya itifaki ya muungano wa ushuru wa forodha.

5

Desemba

 

Maonyesho ya biashara ya nchi za Afrika na Kiarabu yaanza   Dar es Salaam.

 

23

 

Desemba

 

Sensa ya Kilimo na Mifugo yaanza nchini.

 

 Jedwali Na. A (Takwimu muhimu katika Uchumi-Tanzania Bara)

 
Back Top