AGOA |
African Growth Opportunity Act (Mpango wa Marekani wa Kusaidia Maendeleo Afrika)
|
APRM |
African Peer Review Mechanism( Mpango wa Kujitathmini na Kujipima wa Afrika)
|
ATCL |
Air Tanzania Company limited (Shirika la Ndege Tanzania)
|
ATM |
Automatic Teller Machine (Mashine ya kujihudumia katika Benki)
|
ATV |
Agape Television (Televisheni ya Agape)
|
BOT |
Bank of Tanzania (Benki Kuu ya Tanzania)
|
CBPP |
Magonjwa ya homa ya mapafu ya mifugo
|
CEN |
Cable Entertainment Network (Mtandano wa waya wa kutoa burudani)
|
CFS
|
Consolidated Funds (Mfuko Mkuu) |
cif |
Cost Insurance and Freight (thamani ya bidhaa ikijumuisha gharama za usafiri na Bima)
|
CTN |
Coastal Television Network (Mtandao wa televisheni wa Pwani)
|
DSM |
Dar es Salaam
|
DTV |
Dar es Salaam Television (Televisheni ya Dar es Salaam)
|
EAC |
East African Community (Jumuiya ya Afrika Mashariki)
|
EBA |
Everything But Arms (Kila Kitu Isipokuwa Silaha)
|
EMS |
Expedited Mail Services ( Huduma ya Haraka ya Utumaji Barua)
|
EWURA |
Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati)
|
FCC |
Fair Competition Commission (Tume ya Ushindani wa Haki )
|
FCT |
Fair Competition Tribunal (Mahakama ya Ushindani na Haki)
|
FDI |
Foreign Direct Investment (Uwekezaji wa Mitaji ya Kigeni ya Moja kwa Moja)
|
fob |
free on board (Thamani ya Bidhaa bila kujumuisha Gharama za Usafiri na bima) |
GEF |
Global Enviromental Fund (Mfuko wa Mazingira wa Dunia)
|
GER |
Gross Enrolment Ratio (Kiwango cha Jumla cha uandikishwaji wanafunzi)
|
HADO |
Hifadhi Ardhi Dodoma
|
HIPC |
Highly Indebted Poor Countries (Nchi Maskini Zenye Madeni Makubwa)
|
HIV/AIDS |
Human Immuno deficiency Virus/Acquired Immune Deficiency Syndrome (Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI)
|
IMF |
International Monetary Fund (Shirika la Fedha la Kimataifa)
|
IPTL |
Independent Power Tanzania Limited (Kampuni ya Uzalishaji wa Umeme unaotokana na mafuta)
|
JKT |
Jeshi la Kujenga Taifa
|
MKU |
Mkakati wa Kupunguza Umaskini (Poverty Reduction Strategy) |
MKUKUTA |
Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (National Strategy for Growth and Reduction of Poverty)
|
MKURABITA |
Mkakati wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania
|
MMEM |
Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi
|
MMES |
Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari
|
NAFCO |
National Agricultural and Food Corporation (Shirika la Taifa la Kilimo na Chakula)
|
NEPAD |
New Partnership for Africa’s Development (Mpango wa Ushirikiano Mpya wa Kuleta Maendeleo Afrika)
|
NER |
Net Enrolment Ratio (Kiwango Halisi cha Uandikishwaji Wanafunzi)
|
NMB |
National Microfinance Bank (Benki ya Taifa ya Mikopo Midogo Midogo)
|
NSSF |
National Social Security Fund (Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii)
|
PPF |
Parastatal Pension Fund (Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma)
|
PSPF |
Public Service Pension Fund (Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma)
|
RTD |
Radio Tanzania Dar es Salaam.
|
SACCOS |
Savings and Credit Cooperatives Societies (Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo) |
SADC |
Southern Africa Development Community (Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika)
|
SUMATRA |
Surface and Marine Transport Regulatory Authority (Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini na Majini)
|
TACAIDS |
Tanzania Commission for AIDS (Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania)
|
TANESCO |
Tanzania Electric Supply Company (Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania)
|
TAKURU |
Taasisi ya kuzuia Rushwa
|
TAZARA |
Tanzania Zambia Railway Authority (Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia)
|
TCAA |
Tanzania Civil Aviation Authority (Wakala wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usalama wa Usafiri wa Anga)
|
TCDC |
Technical Cooperation among Developing Countries (Ushirikiano wa Kiufundi Baina ya Nchi Zinazoendelea)
|
TCRA |
Tanzania Communication Regulatory Authority (Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania)
|
TIC |
Tanzania Investment Centre (Kituo cha Uwekezaji Tanzania)
|
TRC |
Tanzania Railway Corporation (Shirika la Reli Tanzania)
|
TTB |
Tanzania Tourism Board (Bodi ya Utalii Tanzania)
|
TTCL |
Tanzania Telecommunication Company Limited (Kampuni ya Simu Tanzania)
|
TUT |
Tanzania Broadcasting Services (Taasisi ya Utangazaji Tanzania)
|
TVT |
Tanzania Television (Televisheni ya Taifa)
|
UCLAS |
University College of Land and Architectural Studies (Chuo Kikuu Kishiriki cha Ardhi na Usanifu Majengo)
|
UNDP |
United Nations Development Programme (Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa)
|
VAT |
Value Added Tax (Kodi ya Ongezeko la Thamani)
|
WTO |
World Trade Organization (Shirika la Kimataifa la Biashara)
|