PRESS SECRETARY TO THE
PRESIDENT
Fax. No. 255-22
2113425 The State House,
Tel:
DAR ES SALAAM.
E-mail: press@ikulu.go.tz
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Na Mwandishi Maalum
Udhibitisho huo
umetolewa jana na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa
wa Norway, Bw. Erick Solheim, wakati alipomtembelea Rais Jakaya Kikwete na kisha kuwa na mazungumzo naye, mazungumzo yaliyolenga katika kukuza na kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano wa kimaendeleo kati ya mataifa hayo
mawili. Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa
na Waziri
wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji,
Bw.Juma Ngasongwa.
Bw. Solheim ambaye yuko hapa
Na kwa sababu hiyo,alisisitiza
kuwa serikali yake itaendelea
ushirikiano wake na
Alisema kuwa
Kuhusu Rushwa, Waziri huyo wa
maendeleo ya kimataifa, alisema serikali yake inatiwa
moyo
kumhakikishia ushirikiano wa kutosha katika kukabiliana nalo, ingawa inahitajika kazi kubwa katika
kukabiliana na rushwa.
Aidha alimpongeza Rais Kikwete kwa uamuzi aliouchukua wa kushughulikia hali ya kisiasa katika
visiwa vya
Bw. Solheim alisema kuwa nchi
yake itakuwa tayari kutoa msaada
wa wataalam
wenye uzoefu katika fani mbalimbali,
kuja nchi
Kwa upande wake Rais Jakaya Kikwete
aliishukuru serikali
ya
Alisema kuwa yeye
binafsi ni
mmoja wa wananchi walionufaika na misaada ambayo
Rais aliyataja baadhi ya maeneo
ambayo alisema kuwa atahitaji ushirikiano wa
karibu katika kuyatekeleza.
Baadhi ya maeneo
hayo ni ujenzi
wa chuo kikuu
kipya,ambacho alisema kuwa kinahitajika
kujengwa ili kutoa nafasi kwa
maelfu ya watoto wa Kitanzania
ambao licha ya kufanya vizuri
katika mitihani
Alisema kuwa hatachoka
kuomba msaada wa kusaidiwa
kujenga chuo kikuu kipya, ili
kuepuka kuwa na taifa litakalokuwa
na wananchi walioishia na elimu
ya sekondari tu.
Eneo jingine ambalo alisema kuwa atahitaji kusaidiwa katika utekelezaji ni
eneo la Sekta ya Afya hususani
katika kukabiliana na tatizo kubwa
la vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi.
Alisema kuwa kutokana
na uwezo mdogo wa usambazaji
wa huduma hiyo muhimu kwa
wananchi walio wengi,
kumekuw na ongezeko kubwa la idadi ya wanawake
wanaofariki dunia kutokana na matatizo
ya uzazi.
Aliongeza kuwa
serikali imeweza kukabiliana vema na kupunguza idadi
ya vifo vya
watoto wadogo wanaofariki dunia chini ya umri
wa miaka mitano, lakini hali ni kinyume kwa upande wa wanawake
hali aliyosema inamtia hofu sana
na hivyo mikakati ya makusudi
inatakiwa kuchukuliwa ili kunusuru maisha
ya wanawake hapa nchini.
Kuhusu suala la Rushwa,
Rais alisema kuwa serikali yake
inafahamu vema ukubwa na ugumu
wa kukabiliana na tatizo
Alibainisha kuwa
juhudi zake hizo, zinalenga hasa katika kuwaelimisha
wananchi kuichukia na kukataa
rushwa, na siyo kuangalia ni watu wangapi
wamefungwa kwa rushwa.
"Tunataka kupunguza idadi ya watu wanaopokea
na kutoa
rushwa, kwa kuwaelimisha kuwa rushwa ni mbaya, ni
uovu," alisisitiza.
Alisema kuwa anachoomba
kutoka kwao ni kuona kuwa ushirikiano kati ya mataifa hayo
mawili unaendelea kustawi na kuwa
endelevu na utakaokuwa na
manufaa kwa pande zote mbili.
Mwisho