PRESS
SECRETARY TO THE PRESIDENT
Fax. No. 255-22 2113425 The State House,
Tel:
DAR ES SALAAM.
E-mail: press@ikulu.go.tz
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JK KUHUDHURIA MKUTANO
WA KIMATAIFA WA MAZIWA MAKUU
Rais Jakaya Kikwete anaondoka
nchini kesho mchana (13 Desemba, 2006) kwenda
Katika
mkutano huo, ambao utafanyika siku ya Alhamisi na Ijumaa Rais Jakaya
Kikwete atamkabidhi uenyekiti wa mkutano huo, Rais Mwai Kibaki wa
Mkutano wa kwanza wa Kimataifa kuhusu Maziwa Makuu ulifanyika
nchini Tanzania Novemba 20, 2004 ambapo
Aidha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Asha-Rose Migiro
anatarajiwa katika nafasi yake
Mkutano huo wa Nairobi, unatarajiwa kuhudhuriwa na Wakuu
wa Nchi na Serikali kutoka nchi za
msingi (core) 11 ambazo ni
Aidha Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake, Bw. Koffi Annan anatarajiwa kuzungumza katika mkutano huo. Wengine watakaozungumza ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Denis Sassou-Nguesso wa Kongo.
Washiriki wengine ni kutoka nchi za Afrika ambao ni wajumbe wa kundi la nchi rafiki, kundi la nchi marafiki wa maziwa makuu zikiongozwa na wenyeviti wenza ambao ni Canada na Uholanzi, Pamoja na wawakilishi mbalimbali kutoka Asasi za Umoja wa Mataifa, Jumuia ya Ulaya, NEPAD na ADB.
Mkutano huu umeandaliwa kwa ushirikiano wa Umoja wa Mataifa na Jumuia ya Afrika.
Rais na Ujumbe wake anatarajiwa kurejea nyumbani mara baada ya mkutano huo.
Mwisho
Ikulu
12/12/2006