PRESS
SECRETARY TO THE PRESIDENT
Fax. No. 255-22 2113425 The State House,
Tel:
DAR ES SALAAM.
E-mail: press@ikulu.go.tz
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Na Maura Mwingira
IKULU
12/12/2006
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri Jeshi Mkuu leo amekagua
maandalizi ya kikundi cha Polisi Jeshi 77 (Military Police) ambao wamekamilisha mafunzo
na maandalizi ya vifaa mbalimbali tayari
kwenda nchini
Polisi Jeshi hao ambao ni maafisa
11 na askari 66 wanatoka katika Kombania ya 603 ya Jeshi Polisi katika Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) iliyoko Ukonga jijini
Akizungumza na maafisa na askari hao mara baada ya kuona zoezi fupi la majukumu wanayokwenda kufanya huko, pamoja na kukagua vifaa; Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa maafisa na askari hao, ni vema wakatambua kwamba wamepewa heshima kubwa ya kwenda kuiwakilisha Tanzania na Jeshi lao katika kazi ya kulinda amani.
“Kuna mambo matatu ambayo nataka myatambue, kwanza mmepewa heshima kubwa nyinyi binafsi ya kwenda kushiriki zoezi hili, na mkifanya vizuri mtapata sifa wenzenu watawasifia na kusema kumbe Watanzania ni wazuri”. alisema
Na kuainisha jambo la pili kwamba kwa kwenda kwao kushiriki zoezi hilo ni heshima kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiombwa kwenda kushiriki shughuli za kulinda amani. Na kwamba utendaji kazi mzuri utatoa fursa zaidi kwa JWTZ kushiriki katika mazoezi hayo.
“Na jambo la tatu mtambue kwamba
mnabeba heshima ya
Akitoa nasaha hizo mbele ya Mkuu wa Majeshi General George Waitara , Naibu Waziri wa Wizara ya Ulinzi na JKT, Mhe. Omar Yussuf Mzee na maafisa wengine wa JWTZ, Rais aliwasisitiza maafisa na askari hao kwamba wanakwenda nchi ya watu na ugenini na hivyo ni lazima wakaishi vizuri na askari kutoka nchi nyingine.
Aliwataka pia askari hao kuishi vizuri na raia wa Lebanon huku wakichukua tahadhari kubwa ya kutoingia mitaani na kuanza kufanya urafiki na raia au kufanya miradi itakayoleta aibu kwa jeshi na nchi na kwamba hilo ni jambo la msingi sana.
Amiri Jeshi Mkuu alisema
kuwa uamuzi wa
Alibainisha kwamba kwa muda mrefu
Umoja wa Mataifa umekuwa ukiiomba
Alisema kuwa
Aliwahakikishia maafisa na askari hao na JWTZ kwamba serikali
itafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuwapatia mahitaji yote wanayohitaji
ili kurahisisha utendaji wa majukumu
Akitoa taarifa fupi ya maandalizi ya kikundi hicho, Mkuu wa Majeshi, Jeneral George Waitara, alimweleza Amiri Jeshi Mkuu, kwamba JWTZ pamoja na kutoa maafisa na askari hao 77 pia limeandaa na kutoa malori manne yenye uzito wa tani tano yakiwa yamefungwa vifaa vyote vya mawasiliano na kupakwa rangi nyeupe na nembo ya UN.
“Amiri Jeshi Mkuu ulituagiza tuandae kikundi cha kwenda
Alieleza kwamba JWTZ pia imetoa magari 17 aina ya Landrover, mbwa wawili kwa ajili ya shughuli za kunusa mabomu, vifaa vya malazi, burudani na fedha za awali za kujikimu kwa maafisa na askari hao.
Jenerali Waitara allisema kuwa gharama zote za maandalizi ya maafisa askari na vifaa hizo zimetolewana Jeshi lenyewe, na kwamba zitarejeshwa na Umoja wa Mataifa.
Alieleza kuwa hii ni mara ya kwanza kwa JWTZ kupeleka askari wake nje wa bara la Afrika na kwamba hatua hiyo ni changamoto kubwa wa Jeshi.
Aidha alisema kuwa wakaguzi
kutoka Umoja wa Mataifa wameridhishwa na maandalizi ya maafisa na askari hao,
pamoja na vifaa vilivyotolewa na jeshi
Polisi Jeshi hao 77 moja ya
jukumu lao kuu litakuwa ni kutoa ulinzi kwa askari wenzao wapatao 9,000 kutoka
nchi sita ambao wako tayari nchi
Hii ni mara ya kwanza kwa
Tangu wakati huo,
Mwisho.