
THE UNITED
OFFICE OF THE PRESS SECRETARY TO THE PRESIDENT
Fax. No. 255-22 2113425 The State House,
Tel:
DAR ES SALAAM.
E-mail: press@ikulu.go.tz
JK-TANZANIA KUFUNDISHA MAAFISA KADETI WA JESHI LA
Na Maura Mwingira
29/01/07
ADDS ABABA
Ahadi hiyo imetolewa
leo na
Rais Jakaya Kikwete wakati alipokutana na kufanya mazungumzo Rais wa Serikali
ya Mpito ya
Rais Kikwete alisema kuwa uamuzi
wa
"Ninapenda kuhakikisha Mhe. Rais, kwamba sisi
Aliongeza kwamba
Rais Kikwete alibainisha kwamba, Jeshi la wananchi wa
Kikwete aliongeza kuwa kwa
kuwa mahitaji ya
"Leo hii nitazungumza na
mkuu wangu wa majeshi ili
aandae timu ya wataalamu watakaokuja
Katika mazungumzo hayo ambayo pia
yalihudhuriwa na
Waziri wa mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, Rais Kikwete
alimweleza Rais wa serikali
ya Mpito ya
Aidha Rais Kikwete
alishauri kwamba kwa kuwa
serikali hiyo ya mpito iko
katika mpango wa kuliunda upya
jeshi lake, itakuwa vizuri askari watakaochaguliwa
kwenda kuchukua mafunzo hayo wawe
ni vijana wasiozidi miaka 35.
Alisema kuwa uwezo
wa JWTZ katika
utoaji wa mafunzo hayo ni
kwa askari kati ya 100 hadi
200.
Rais Kikwete pia alimpongeza Rais huyo wa serikali ya mpito nchini
Kwa upande wake, Kiongozi huyo wa serikali ya mpito ya
"huu ni mchango
mkubwa
Aliongeza kwamba, kwa kuanzia
wangependa askari wao 1000 wapatiwe mafunzo hayo yakiwamo
yale ya kujikumbusha,
(refresher course).
Tayari Tume ya
Umoja wa
Afrika imekwisha kutaarifiwa juu ya mchango huo
wa
Awali akizungumza wakati wa
ufunguzi wa mkutano huu wa
nane, Mwenyekiti wa Tume ya
Umoja wa Afrika, Bw. Alpha Konare, alisema kuwa Nchi za
umoja huo ni lazima zipeleke
kwa haraka vikosi vya kulinda
amani nchini humo.
Alibainisha kwamba kama umoja huo hautafanya hivyo haraka iwezekanavyo,
hali nchini
Akiongea kwa
uchungu, Bw. Konare alisema kuwa nchi za
Afrika zifikie mahali ziachane na utegemezi wa
kutegemea mataifa mengine ya nje
kuja kusadia ulinzi wa amani
katikaAfrika, ingawa misaada
Alisema jumla ya
askari 8000 wanahitajika haraka Somalia, na kwamba hadi sasa
ni nchi za
Uganda, Malawi, Nigeria na Ghana ndizo
zimeahidi kutoa askari wake, huku Algeria ikiahidi kutoa msaada wa kusafirisha
askari hao kwenda Somalia.
"Ndugu zangu hatuwezi
kuendelea kutegemea mataifa ya nje
yatusaidie, natoa wito tena nchi
zote za Afrika
kutenga raslimali za kuisaidia
Hata hivyo Bw.
Konare alisema haitoshi kupeleka vikosi vya kulinda
amani huko
"
Mwisho