PRESS
SECRETARY TO THE PRESIDENT
OF
THE UNITED

The State House,
Tel:
Fax.
No. 255-22 2113425 DAR ES SALAAM.
E-mail: press@ikulu.go.tz Tanzania.
18 Desemba,
2007
TAARIFA
KWA WAHARIRI WA VYOMBO
Mhe. S. Sitta,
Spika wa Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,
DAR ES SALAAM.
SALAMU ZA
RAMBIRAMBI
Nimepokea kwa
mshituko na masikitiko makubwa taarifa za kifo
cha Mheshimiwa Benedict Losurutia,
Mbunge wa Kiteto, mkoani Manyara.
Katika uhai wake, nilimfahamu marehemu
Marehemu atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa kama mwalimu na
baadaye mbunge, na kwa jitihada
zake kuchangia maendeleo na ustawi
wa wananchi wa jimbo lake ambao
aliwatumikia kwa moyo wake wote.
Hapana shaka kuwa
kifo chake kitakuwa kimetugusa wengi wetu hususani
familia yake na wananchi wa
jimbo
Kwa moyo wa dhati kabisa, nachukua nafasi hii kutuma
rambirambi zangu za pole kwa familia
ya Marehemu, ndugu, jamaa na
wananchi wote wa Jimbo la Kiteto.
Mungu aiweke mahali pema peponi
roho ya marehemu. AMINA
Jakaya Mrisho Kikwete
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO
WA