DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120,
DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo (Jumatano, Aprili 16,
2008) amekuwa na siku yenye shughuli nyingi za kidiplomasia katika ziara yake
ya siku mbili katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, mjini
Kwenye siku ambako amehudhuria mkutano kati ya Baraza
la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Afrika (AU) kujadili jinsi gani
taasisi hizo zinaweza kushirikiana kutatua matatizo ya Afrika, Rais Kikwete
alikutana kwa faragha na viongozi wapatao watano.
Na moja ya mambo makuu ambayo yalitawala mikutano
mingi lilikuwa ni suala la
Mkutano wake wa kwanza leo asubuhi, hata kabla ya kuingia
katika masuala ya migogoro ya Afrika ulikuwa kati yake na Waziri Mkuu wa
Uingereza, Gordon Brown. Kama ilivyotarajiwa suala la
Mkutano huo ulifuatiwa na mwingine kati ya Rais
Kikwete na Waziri Mkuu wa Italia, Romano Prodi ambaye anamaliza kipindi chake.
Prodi anatarajiwa kuachia ngazi kati ya Mei 5 na 15.
Katika mkutano huo, Rais alitumia muda wake
kumshukuru Prodi kwa mambo ambayo amelifanyia Bara la Afrika, na
Prodi amemwambia Rais kwa utani, “naachia uwaziri
mkuu, lakini sifi, kwa hiyo ni dhahiri kuwa tutakutana na kuendelea kufanya
kazi pamoja katika nafasi nyingine.”
Baada ya kuwa amemaliza mkutano huo, Rais Kikwete
alikutana na Rais wa
Jambo kubwa katika mazungumzo kati ya viongozi hao ni
kwamba Rais Kikwete alitaka kujua jinsi gani AU inaweza kusaidia kutatua zahama
ya siasa katika
Rais Ahmed alimwomba Kikwete kutumia uwezo wake
katika nafasi yake ya AU kuhakikisha kuwa nchi zilizoahidi kuchangia jeshi la
kulinda amani katika nchi hiyo zinapeleka majeshi
Rais huyo wa Somalia, amemweleza Rais Kikwete kuwa
mpaka sasa wamepokea vikosi viwili kutoka Uganda na kimoja kutoka Burundi,
lakini bado wanasubiri askari kutoka Nigeria, Ghana na Malawi ambazo ziliahidi
kutoa askari wao kusaidia amani katika Somalia.
Rais Kikwete pia amekutana na Naibu Waziri wa Mambo
ya Nje wa Marekani anayeshughulikia masula ya Afrika, Jendayi Fraser, mkutano
ambao umefanyika katika Hoteli ya Intercontinental The Barclays, ambako Rais na
ujumbe wake wamefikia.
Suala kubwa katika mkutano huo lilikuwa ni hali ya
Wakati wa jioni, Rais amekutana na Katibu Mkuu wa UN,
Ban Ki Moon katika mkutano uliofanyika ofisini kwa Katibu Mkuu huyo.
Masuala ya msingi yaliyojadiliwa katika mkutano huo
ni hali ya
Katika mazungumzo hayo, Ban Ki Moon amesema kuwa UN
haitaki kushuhudia yale ambayo dunia iliyashuhudia katika
Katibu Mkuu huyo amemweleza Rais Kikwete kuhusu
juhudi ambazo UN inafanya kuhakikisha kuwa majeshi ya kulinda amani katika eneo
Amesema kuwa nchi za Misri na
Amesema kuwa vikosi vya kwanza vya nchi hiyo
vitapelekwa
Amesema kuwa vikosi vya nchi hizo mbili zikiungana na
vikosi kutoka
Usiku, Rais Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo
na Rais wa
Katika mkutano huo, Rais alitaka kujua hali ilivyo
katika nchi hiyo na jinsi gani AU inaweza kusaidia
Mwisho.
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais na Habari
17.04.2008