DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Millennium Challenge
Corporation (MCC) ya Marekani
imeonyesha dhamira ya kuendelea kusaidia
juhudi za
Bodi hiyo ilitangaza msimamo huo hivi karibuni
Jijini
Katika barua iliyotumwa kwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa MCC, Balozi John Danilovich pamoja na mambo mengine anasema:
“Kwa niaba ya
Taasisi ya Millenium Challenge Corporation (MCC), ninafurahi
kukujulisha wewe kuwa Bodi ya
Wakurugenzi hivi karibuni ilipitia utendaji wa
Kwa viwango,
MCC inazitaka nchi washiriki kuendeleza na kuonyesha
nia ya kuboresha
utendaji kila mwaka. Kwa vile Bodi ya
MCC haichagui tena nchi zinazotimiza vigezo kwa kila
mwaka wakati wa kipindi chake,
MCC inaendelea kufuatilia na kutathmini utendaji
wa nchi washirika
kwa mwaka mzima na kwa
mwaka wakati wa mkutano wa
uchaguzi.
Chini ya mpango huo,
Serikali ya Marekani itaipatia
Katika barua yake, Balozi Danilovich
anaitia moyo
Anasisitiza kuwa kuboreshwa kwa
utendaji ni muhimu kwa matarajio
ya
“Ninaishauri Serikali kuendelea kufanya jitihada kuendeleza na kuboresha utendaji
wake na kuendelea kufikia vigezo vya MCC”, anasema Balozi Danilovich katika barua yake
kwa Rais
Kikwete.
“Mageuzi yanayoendelea ni muhimu
kwa jitihada za Serikali katika
kupunguza umaskini na chachu kwa
ukuaji wa uchumi, na kufikia
vigezo vinavyohitajika ni jambo muhimu
kwa matarajio ya Serikali katika
kufanikiwa kuingia kwenye awamu ya
pili ya MCC miaka ijayo”, anasema
Balozi Danilovich na kuongeza:
“MCC
na washirika wake wote katika Serikali
ya Marekani wako tayari kusaidia
jitihada za Serikali zinazoendelea katika kufanya mageuzi. Sisi katika MCC tunatarajia kuendeleza ushiriki wetu na uwekezaji
kwa siku zijazo nchini
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
15
Januari, 2009