DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
leo, Jumatano,
Februari 11, 2009, amekutana
na kufanya mazungumzo na Kaimu
Balozi wa Marekani katika
Katika mkutano huo uliofanyika
Ikulu,
Balozi Andre Jr amemwambia Rais
Kikwete kuwa maandalizi yote yanakwenda vizuri na hatua
zote muhimu katika utekelezaji wa MCC zinaendelea kufikiwa kwa wakati.
Rais Kikwete pia amemwambia
Balozi Andre Jr. kuwa kama litakuwapo
pengo lolote katika fedha za
kugharimia miradi hiyo kwa sababu
ya kupanda kwa gharama za
vifaa vya ujenzi tokea MCC ilipotiwa saini mwaka jana wakati
wa ziara ya Rais George W. Bush nchini, basi
Balozi huyo wa Marekani pia amemkabidhi
Rais Kikwete ripoti ya mwisho
ya milipuko ya mara kwa
mara kwenye Mlima wa Oldonyo
Lengai katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro mkoani
Arusha.
Hivi karibuni, ubalozi wa Marekani
katika
Balozi Andre Jr. pia amemweleza Rais Kikwete kuhusu
ujizo wa
Meli USS Robert G Bradley ya
Jeshi la Majini la Marekani yenye kuegeshwa katika bandari ya Mayport,
Jimbo la
Miongoni mwa shughuli nyingine,
meli hiyo itashiriki katika kuweka mikakati ya kupambana na uharamia katika pwani ya
Mashariki mwa Afrika ambao umepamba
moto hasa katika eneo la Bahari ya Hindi la
Rais Kikwete na
Balozi huyo pia wamezungumzia masuala ya
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
11 Februari, 2009