DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuri
ya Muungano wa
Taarifa iliyotolewa leo,
Alhamisi, Novemba 5, 2009, Ikulu, mjini
Bwana Sirlius Matupa anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana George Msaju, ambaye majuzi
aliteuliwa kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Matupa alikuwa Mkurugenzi Msaidizi katika Wizara ya
Mambo ya Katiba na Sheria.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
05 Novemba, 2009