UNITED
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA KWA VYOMBO
VYA HABARI
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa
Ajali hiyo ilitokea majira
ya saa tano
asubuhi ya leo katika
kijiji cha Kanegere, Wilaya ya Bukombe,
Mkoa wa Shinyanga,
wakati basi la Super Najimunisa lilipogongana ana kwa ana
na lori la aina ya Fuso.
Basi
Katika salamu hizo za
rambirambi kwa
Mheshimiwa Mohammed Babu ambaye ni Mkuu
wa Mkoa wa
Kagera na kwa Mheshimiwa Brigedia (mst) Dkt. Yohana Balele,
Mheshimiwa Rais amesema:
“Nimestushwa
Ameongeza Rais Kikwete: “Napenda kupitia kwenu kuwapa mkono
wangu wa pole nyingi wafiwa wote
ambao wamepoteza wapendwa wao katika
ajali hii. Nawatakia moyo wa subira
na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na maombolezo.
Napenda wafahamu kuwa moyo
wangu uko nao katika kipindi
hiki na kuwa
msiba wao ni msiba wetu
sote Watanzania.”
Kuhusu majeruhi, Rais Kikwete amesema: “Napenda pia kupitia
kwenu kutoa mkono wa pole kwa
wote walioumia katika ajali hii.
Natakiwa pole
Mheshimiwa Rais amewataka wakuu wa
mkoa hiyo miwili na wilaya
husika kuchukua kila hatua inayostahiki
kuchunguza chanzo cha ajali hiyo na
kuchukua hatua mwafaka.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
30
Julai, 2010