DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA KWA
VYOMBO VYA HABARI
RAIS KIKWETE AISHUKURU
Na Mwandishi Maalum,
“Tunawashukuru
Katika mazungumzo yake na ujumbe huo
kwenye Uwanja wa Kimataifa wa
Ndege wa Dar es Salaam (KIA), Rais Kikwete amemwomba kiongozi wa ujumbe
huo, He Yong, kuwasilisha shukurani zake hizo kwa Rais
wa China, Hu Jintao.
He Yong, ambaye ni Katibu
wa Sekretarieti ya Kamati Kuu
ya Chama cha Kikomunisti
cha
Ziara hiyo ya ujumbe
wa
Ameuambia ujumbe huo Rais
Kikwete, “uwanja ni mzuri
Fainali zijazo za Kombe
la Soka la Dunia (FIFA
Senior World Cup Finals) zimepangwa kufanyika Afrika Kusini mwaka 2010 na nchi jirani na Afrika
Kusini zinaratajiwa kunufaika kwa kuwa
wenyeweji wa mazoezi ya timu
hizo 32 zitakazoshiriki fainali hizo.
“Mwambie Rais Jintao kuwa
tunashukuru
Naye He Yong amesema kuwa atawasilisha
shukurani hizo kwa Rais
Jintao na kuongeza: “Siku zote tumekuwa na
hisia za urafiki wa pekee
kwa wananchi wa
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
18 Septemba, 2008