UNITED
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA KWA VYOMBO
VYA HABARI
Mgombea Urais wa
Mheshimiwa Kikwete ametoa tamko
Mheshimiwa amelazimika kutoa tamko
Mheshimiwa Kikwete, akiwa amefuatana na
Mgombea Mwenza wake, Dk. Mohamed
Gharib Bilal ambaye alipanda naye gari moja,
amewasili Mahakama ya Rufani kwenye
makutano ya Barabara za Sokoine
na
Alikwenda moja kwa
moja kwenye ofisi ya Mahakama
hiyo ambako yeye na Dk. Bilal
walijaza fomu za kutoa tamko,
shughuli ambayo ilichukua muda mfupi na katika
muda wa dakika
10 Mheshimiwa Kikwete aliondoka kurejea Ikulu.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
18
Agosti, 2010