DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Kikwete leo, Jumatatu,
Juni 8, 2009, amekutana na kufanya mazungumzo
na mabalozi wa
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Balozi wa Cuba, Ernesto Gomez Diaz amemkabidhi
Rais Kikwete mwaliko kutoka
kwa Rais Raul Castro Ruz kumwomba atembelee
Cuba baadaye mwaka huu.
Rais Kikwete ameshukuru kupata mwaliko huo. Pia Rais
ameukubali mwaliko huo na kumwahidi Balozi huyo kuwa itatafutwa
tarehe mwafaka kuweza kufanikisha mwaliko huo na
ziara hiyo.
Naye Balozi wa Saudi Arabia, Ali Abdallah Suleiman Al-Jarbou amemwambia Rais Kikwete kuwa ziara
yake katika nchi hiyo, Aprili,
mwaka huu, imefungua milango “yote” kwa aina
mpya ya ushirikiano
kati ya Tanzania na Saudi Arabia.
Amesema kuwa ziara hiyo
pia imetoa mwelekeo mpya wa Saudi Arabia na wananchi wake kuhusu
Rais Kikwete amekuwa Rais wa
kwanza wa
Vile vile Rais Kikwete
alikuwa kiongozi wa kwanza kupewa
nishani maalum na taifa la
Balozi Al-Jarbou ameshauri kuwa sasa umefika
wakati kwa
mawaziri wa
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
08 Juni, 2009