DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120,
DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya
Mrisho Kikwete ameitaka Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kuacha kuchukua maamuzi makubwa kuhusu uendeshaji wa Reli ya Kati bila kuishirikisha
Serikali, kwa sababu Reli hiyo
siyo
Rais amesema
kuwa maamuzi yote makubwa kuhusu
Reli hiyo lazima yafanywe kwa kuishirikisha
Serikali ya
Rais Kikwete
ametoa msimamo huo leo, Ijumaa,
Januari 16, 2009, wakati wa kikao kati
yake na uongozi
wa Wizara ya Miundombinu pamoja na uongozi
wa TRL katika mfululizo wa mikutano
yake na Wizara
mbalimbali za Serikali yake kufuatilia
utendaji wa Wizara hizo.
“Sisi kama Serikali
ya
“Sisi
tuko katika ubia, na kila
yanapotakiwa kuchukuliwa maamuzi makubwa kuhusu Reli ni
lazima tuwasiliane na kukubaliana kwa pamoja. Msichukue maamuzi
peke yenu. Hii siyo Reli yenu.
Reli ni yetu,” amesema
Rais katika kikao hicho.
Rais amelazimika
kutoka msisitizo huo baada ya
kuwa amepata maelezo kutoka kwa uongozi
wa TRL kuhusu mipango ya uendeshaji
wa Reli hiyo
katika mkutano huo ambao pia
umehudhuriwa na uongozi wa Mamlaka
ya Udhibiti wa
Miongoni mwa
mipango hiyo ni kujaribu kupata
mkopo mkubwa wa kuendesha shughuli
za Reli hiyo
bila ridhaa ya Serikali, mipango
ya kuacha kutoa huduma kwenye
baadhi ya vipande vya Reli
kwa madai kuwa havina faida,
hali ya usalama
ya Reli yenyewe,
maombi ya TRL kuzidi kupungizwa kodi, na hata
kutaka mipango ya kung’oa kipande
cha reli kati ya Tanzania na Kenya kwa madai kuwa
hakina faida.
TRL inasema
kuwa haipati faida kwenye njia
za reli za
Tanga-Moshi-Arusha, Kahe-Taveta,
Kidatu-Kilosa na
Dodoma-Singida.
Rais Kikwete
amesema: “Kama ni
mkopo lazima upatikane baada ya kuwa tumekubaliana
sote wawili na wala siyo
nyie kuchukua maamuzi pekee yenu
kwa sababu mikopo yenyewe inalipwa na Serikali
ya
Kuhusu mipango
ya uongozi wa TRL kuacha
kutoa huduma kwenye baadhi ya
vipande vya reli hiyo kwa
sababu hakuna faida, Rais amesema:
“Tumekodisha
Reli nzima, siyo kwa vipande. Mlifanya
uhakiki na
kujua hali ya Reli nzima.
Mlijua tokea mwanzo kwamba
baadhi ya sehemu za Reli
hiyo zilikuwa haziingizi faida. Hamwezi sasa kubadilika
leo na
kuweka msimamo tofauti.”
Kuhusu usalama
wa Reli,
Rais Kikwete amesisitiza: “Kuna uharibifu mkubwa katika baadhi
ya maeneo ya Reli. Hali
ya usalama wa Reli inaonekana kuwa hatarini kwa sababu
nyie mnaonekana
Kuhusu ombi
la kuzidi kupunguziwa kodi, Rais Kikwete
ameuambia uongozi wa TRL: “ Hivi
mnataka tuwaondolee kodi zote, ili
sisi Watanzania tupata nini? Hivi mnataka
tupate nini katika ubia huu?
Sisi ndiyo tunakopa, ndio tunalipa madeni,
na sasa mnataka
hata tuwaondolee kodi.”
Ameongeza: “Mnataka
tuwaondolee kodi zote ili tupate
nini? Hivi mnaweza vipi kuhalalisha
mpango wa
namna hii kwa walipa kodi
wetu? Tukifanya hivyo tuwaambie
wananchi wetu nini? Kwamba nyie mpo hapa nchini kufanya
nini hasa?”
Kuhusu hisia
za kutaka kung’oa Reli kwa sababu ya kutokuwa na
faida, Rais amesema: “Hili litachukuliwa
Amesisitiza kuwa
ni muhimu
kwa
Kuhusu maelezo
ya uongozi wa TRL kuwa
imepeleka injini mbili ili zifanyiwe
ukarabati nchini
Imetolewa na:
Kurugenzi ya
Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
16 Januari,
2009