DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL
COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120,
DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
Rais Kikwete amtumia
salamu za rambirambi Rais Kibaki wa
Kenya
Na Mwandishi Maalum,
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete amemtumia Rais Mwai Kibaki
wa
Katika salamu hizo
ambazo zilikabidhiwa jana, Jumanne, Februari 3, 2009, kwa Waziri wa Mambo ya Nje ya
Kenya, Moses Wentangula, mjini
Addis Ababa, Ethiopia, Rais Kikwete
ameeleza mshituko na huzuni yake
kubwa kufuatia vifo hivyo.
Amesema Rais Kikwete
katika rambirambi hzo kwa Rais Kibaki: “Nimepokea
kwa mshituko mkubwa na huzuni
nyingi habari za vifo vya
zaidi ya watu 145 vya wananchi
wako kutokana na ajali mbili
mbaya za moto katika Molo
na
“Watu wengine
wengi pia wameumia na
“Kwa niaba
ya watu na Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa
Katika rambirambi
hizo, Rais Kikwete pia amewatakia
wote walioumia katika ajali hizo
kupona haraka.
Salamu hizo za
rambirambi zilikabidhiwa kwa Waziri Wetangula
kwa sababu Rais kibaki, ambaye
kama alivyokuwa Rais Kikwete, alikuwa
mjini Addis Ababa kuhudhuria
Mkutano wa 12 wa Wakuu wa
Nchi na Serikali
wanachama wa Umoja wa Afrika
(AU), alilazimika kuondoka haraka kurejea nyumbani kwa sababu
ya ajali hizo.