UNITED
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
SALAMU
ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia
salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mheshimiwa Eng. Dr. James Alex
Msekela kutokana na ajali mbaya ya barabarani iliyotokea tarehe 9 Julai, 2010
na kusababisha, vifo vya watu 15 na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa katika kata
ya Mnenia baada ya lori walilokuwa wakisafiria kwenda mnadani kupinduka.
“Ni
kwa majonzi na huzuni kuu, kupitia kwako wewe Mkuu wa Mkoa wa
Aidha,
Rais Kikwete amesema anamuomba Mwenyezi Mungu awawezeshe watu wote
waliojeruhiwa katika ajalai hiyo kupona haraka ili waungane tena na ndugu,
jamaa na marafiki zao na kuendelea na maisha
Rais
Kikwete ameendelea kuzisisitizia mamlaka zinazohusika na masuala ya usalama
barabarani kuongeza umakini katika utekelezaji wa majukumu
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
10 Julai, 2010