DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Na Mwandishi Maalum
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
amesema kuwa
Ili kuanzisha mazungumzo hayo, Rais Kikwete
amemwambia Balozi wa Algeria, anayemaliza muda wa utumishi
wake katika Tanzania, Bwana Abdelmoun’aam
Ahriz kuwa atawatuma mawaziri wawili kwenda Algeria kukutana na wenzao.
“Nitawatuma Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, pamoja
na Waziri wa Fedha na
Uchumi, kwenda
Kati ya deni hilo
ambalo Algeria inaidai
Tanzania, kiasi cha dola za Marekani milioni
58.03 ni deni lenyewe, na kiasi
cha dola za Marekani 70,02 ni riba. Deni
Tokea mwaka 2004, nchi hizi mbili zimekuwa
zinajadiliana jinsi ya kumaliza deni
hilo, na mwaka 2006, wakati Rais Kikwete alipokutana
na Rais Abdelaziz
Bouteflika wa Algeria wakati wa Mkutano
wa Wakuu wa Umoja wa
Afrika (AU) uliofanyika
Banjul, Gambia, kiongozi huyo
wa Algeria alionyesha dalili kuwa Algeria ilikuwa tayari kulifuta deni hilo.
Balozi Ahriz anayeondoka nchini Ijumaa, wiki hii, amekuwa Balozi
wa
Rais Kikwete pia amesema
kuwaTanzania na
Rais Kikwete pia ameishukuru
Balozi Ahric amesema kuwa
mwaka huu, nchi hiyo imetoa
nafasi 60 kwa
wanafunzi wa
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
03 Novemba, 2009