UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENTS OFFICE, THE STATE HOUSE, DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UTEUZI WA MABALOZI
_________________________
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa
(i)
Mhe. Phillip MARMO, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
(ii)
Dkt. Deodorus B. KAMALA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
(iii)
Dkt. Batilda S. BURIAN, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
(iv)
Dkt. Ladislaus C. KOMBA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
(v)
Bibi Shamim NYANDUGA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla
ya hapo Bibi
Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa.
(vi)
Bibi Grace J.E. MUJUMA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
(vii)
Bwana Mohamed H. HAMZA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MISRI. Kabla ya
hapo Bwana Hamza alikuwa Mkurugenzi wa
Mambo ya Nje,
(viii)
Ndugu Ali A. SALEH, ameteuliwa kuwa Balozi nchini
2. Uteuzi huu unaanzia
tarehe 12 Oktoba, 2011. Wataapishwa tarehe 19 Desemba,
2011 saa 03.00 Asubuhi.
MWISHO
.
(Phillemon L. Luhanjo)
KATIBU MKUU KIONGOZI
IKULU,
DAR ES SALAM.
16 Desemba, 2011