DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Mheshimiwa Vanhanen yuko katika ziara ya
siku nne nchini kwa mwaliko wa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda. Ziara
hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa miaka mingi kati ya
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu,
Rais Kikwete ameishukuru
Rais Kikwete pia amemwelezea Waziri Mkuu
huyo kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini na kumhakikishia kuwa maandalizi ya
Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu yanakwenda vizuri.
Rais pia ameishukuru Serikali ya Finland
kwa uamuzi wake wa kujenga chuo cha maendeleo cha Dar es Salaam Institute for Sustainable Development,
chuo ambacho ufunguzi wake rasmi umefanyika wakati wa ziara ya Waziri Mkuu
huyo.
Naye Mheshimiwa Vanhanen amemwambia Rais
Kikwete kuwa ni vizuri kuona
“Huwezi kujenga taifa imara bila utawala
bora na
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
16 Machi, 2010