DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED
|
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com Fax: 255-22-2113425
|
|
PRESIDENT’S OFFICE, THE
STATE HOUSE,
P.O. BOX
9120, DAR
ES SALAAM. Tanzania. |
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
kwa kupambana
na rushwa
Pongezi hizo zimetolewa leo (Jumatatu, Aprili 21,
2008) na Waziri Mkuu wa
Katika mazungumzo hayo ambayo yalikuwa ni sehemu ya
ratiba ya ziara ya siku mbili ya Waziri Mkuu Stoltenberg katika
Amesema kuwa
Mhe Stoltenberg amesema pia kuwa nchi yake inatiwa
moyo na mafanikio ambayo
“Tunajua ni kazi ngumu na ya muda mrefu kuweza
kuondokana na tatizo la vifo vya watoto, lakini mwanzo wenu umekuwa mzuri kwa
namna ya kampeni ya chanjo na upatikanaji wa neti za kuzuia mbu,” amesema
Waziri Mkuu huyo.
Naye Rais Kikwete ametumia mazungumzo hayo kumshukuru
mgeni wake kuhusu hatua ambazo
“Tunafurahi kwamba umepata muda wa kuja
kututembelea,
Mbali na kutoa shukurani za
“Kwa miaka mingi, Mheshimiwa
“ Kwa hakika, Norway imeonyesha uongozi katika
masuala ya kimataifa kuanzia kwenye uanzishwaji wa dhana nzima ya “UN Moja”,
kuja kwenye Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDG) hasa nne na tano, uanzishwaji
wa Mtandao wa Viongozi Duniani wa Network of Global Leaders,
mabadiliko ya hali ya hewa na mazingira duniani, hadi usuluhishaji wa migororo
ya Darfur na Sri Lanka.”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya
Mawasiliano ya Rais na Habari,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
21 Aprili, 2008