Usalama wa Raia

Kulinda Usalama wa Raia na Mali zao

Jukumu kubwa la Jeshi la Polisi ni kuhakikisha usalama na ulinzi wa raia na mali zao kwa kutunza amani na usalama, kutunza sheria na utulivu, kuzuia na kutambua uhalifu, kukamata na kutunza wahalifu na kulinda mali. Idara za Jeshi la Polisi ni pamoja na:

  1. Divisheni ya Operesheni;
  2. Divesheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai;
  3. Devisheni ya Intelijensia.
  4. Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu.

Jeshi la Polisi linaongozwa na Inspekta Jenerali wa Polisi akisaidiwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Polisi wakisaidiwa na Makamishna wa Divisheni, Kanda, Vitengo, Makamanda wa Vikosi mbalimbli na wa Mikoa, Wilaya na Vituo.
Tembelea idara ya Polisi www.polisi.go.tz

Mahusiano ya Kimataifa

The fight against crime and criminals especially transnational organized crime requires cooperation of all local and international security stakeholders. In this understanding, TPF has established International Relations section which coordinates communication and cooperation between TPF and foreign partners in matters pertaining to peace and security. During the year under review, the following activities were performed:-

Ushiriki wa Polisi wanawake kwenye Ulinzi wa Amani

  • Jeshi la polisi limekuwa likichangia askari wanawake katika operesheni za ulinzi wa amani kama tamko la umoja wa mataifa nambari 1325/2007 linavyozitaka nchi wanachama wa umoja huo katika sera za kusimamia ushiriki wa wanawake katika shuguli za ulinzi wa amani.
  • Mwaka 2010 jeshi lilipeleka askari wanawake 25 kwenye misheni ya darfur na hadi sasa jeshi limepeleka askari wanawake 105 kwenye misheni mbalimbali za ulinzi wa amani duniani.
  • Jeshi la polisi limekuwa likihimiza ushiriki  wa polisi wa kike kwenye masuala ya ulinzi wa amani wamekuwa 
  • Wanawake wamekuwa msaada mkubwa wa kugundua masuala yote yanahusu unyanyasaji wa kijinsia
Mpangilio