The Ministry of Information, Communication and Information Technology was established on 12th september, 2021 by the President of the United of Republic of Tanzania. The Ministry is meant to formulate and monitor implementation of policies on information and communication technologies and, Postal services. It is envisaged to drive the digital transformation agenda in Tanzania amid the global fourth phase of industrial revolution.
The Ministry of Communications and Information Technology in collaboration with the Office of the President-PMO-RALG and the Ministry of Lands, Housing and Housing Development, is implementing the Digital Address and Postcode System (NAPA). The purpose of implementing this Framework is to ensure that every institution or citizen has a Residential Address in his or her home, office or business area.
Serikali inatekeleza Mpango wa Anwani za Makazi na Postikodi ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya mwaka 2003 inayoelekeza kuwepo kwa Anwani za Kitaifa zitakazowezesha ufikishaji wa barua, nyaraka, vifurushi na vipeto majumbani na katika ofisi mbalimbali. Aidha, nchi wanachama wa Umoja wa Posta Duniani (Universal Postal Union - UPU) katika Mkutano Mkuu uliofanyika Doha, Qatar mwaka 2012 walikubaliana kuanzisha mfumo bora utakaofikisha barua, nyaraka, vifurushi na vipeto kwa wahusika. Kupata taarifa zaidi bonyeza Mwongozo wa Postikodi
Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi una lengo la kuelekeza na kuwezesha Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala wa Serikali na wadau wa Sekta ya Posta namna ya kutimiza wajibu wao katika kusimamia masuala ya Anwani za Makazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo. Kwa maelezo zaidi bonyeza Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi